{"id":4718,"date":"2025-01-24T16:31:33","date_gmt":"2025-01-24T13:31:33","guid":{"rendered":"https:\/\/mendezconsultancy.co.tz\/?p=4718"},"modified":"2025-01-24T16:31:35","modified_gmt":"2025-01-24T13:31:35","slug":"labour-institution-act-cap-300","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/mendezconsultancy.co.tz\/index.php\/2025\/01\/24\/labour-institution-act-cap-300\/","title":{"rendered":"LABOUR INSTITUTION ACT, CAP 300"},"content":{"rendered":"\n<ul class=\"wp-block-list\">\n<li>Kifungu cha 2 kinapendekezwa kurekebishwa ili kuboresha tafsiri za<br>baadhi ya misamiati iliyotumika katika Sheria.<\/li>\n\n\n\n<li>Kifungu cha 9 kinapendekezwa kurekebishwa ili kubadili<br>utaratibu wa vikao vya Baraza kutoka katika utaratibu wa mwaka wa<br>kalenda na badala yake kutumia utaratibu wa mwaka wa fedha.<\/li>\n\n\n\n<li>Kifungu cha 15 kinapendekezwa kurekebishwa ili kuweka masharti ya kumzuia msuluhishi aliyehusika katika usuluhishi wa mgogoro katika<br>ngazi ya usuluhushi kuamua katika ngazi ya uamuzi.<\/li>\n\n\n\n<li>Kifungu cha 16<br>kinapendekezwa kurekebishwa ili kuweka masharti kwa Mwenyekiti<br>kuongoza vikao vya Tume na kama hatakuwepo, wajumbe waliopo<br>watateua mjumbe mmoja kuongoza kikao.<\/li>\n\n\n\n<li>Kifungu cha 19 kinapendekezwa kurekebishwa ili kuondoa masharti<br>yanayoruhusu msuluhishi aliyehusika katika usuluhishi wa mgogoro kusikiliza mgogoro huo katika ngazi ya uamuzi.<\/li>\n\n\n\n<li>Kifungu cha 20 kinapendekezwa<br>kurekebishwa ili kuwezesha Tume kumwita tena shahidi ambaye<br>ameshatoa ushahidi ili kumdadisi na kumtaka kutoa ushahidi zaidi.<\/li>\n\n\n\n<li>Kifungu cha 27 kinapendekezwa kurekebishwa ili kurekebisha makosa ya kiuandishi.<\/li>\n\n\n\n<li>Vifungu vya 43 na 44 vinapendekezwa kurekebishwa kwa kuondoa cheo cha Naibu Kamishna wa Kazi na kutambua maafisa elimu<br>kazi waliopo chini ya Kamishna wa Kazi.<\/li>\n\n\n\n<li>Kifungu cha 45 kinapendekezwa<br>kurekebishwa kwa kuboresha majukumu ya maafisa kazi na kuongeza majukumu ya maafisa elimu kazi.<\/li>\n\n\n\n<li>Kifungu cha 45A kinapendekezwa kurekebishwa ili kuboresha<br>masharti kuhusu ufifilishaji wa makosa kwa kuweka matakwa ya fedha<br>zinazolipwa katika ufifilishaji kuwekwa katika Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali.<\/li>\n\n\n\n<li>Kifungu cha 55<br>kinapendekezwa kurekebishwa ili kumpa mamlaka Jaji Mkuu kwa<br>kushauriana na Waziri kutengeneza kanuni za kusimamia mienendo ya<br>wawakilishi binafsi.<\/li>\n\n\n\n<li>Kifungu cha 56 kinapendekezwa kurekebishwa ili kuzuia<br>mwajiri kuwakilishwa na mwakilishi binafsi.<\/li>\n<\/ul>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"","protected":false},"author":1,"featured_media":4657,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[1],"tags":[],"class_list":["post-4718","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-news"],"aioseo_notices":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/mendezconsultancy.co.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4718","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/mendezconsultancy.co.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/mendezconsultancy.co.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/mendezconsultancy.co.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/mendezconsultancy.co.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=4718"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/mendezconsultancy.co.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4718\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":4719,"href":"https:\/\/mendezconsultancy.co.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4718\/revisions\/4719"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/mendezconsultancy.co.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/media\/4657"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/mendezconsultancy.co.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=4718"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/mendezconsultancy.co.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=4718"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/mendezconsultancy.co.tz\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=4718"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}